Tokeo la Sasa
ISSN Chapishi: 2707-3467 | ISSN ya Mtandaoni: 2707-3475
DOI ya Jarida: https://doi.org/10.37284/2707-3475
Maendeleo ya Kiswahili kama lugha ni muhimu katika kukuza na kuhifadhi utamaduni wa kiasili, maarifa na dini katika mikoa inayozungumza Kiswahili barani Afrika. Jarida hili linalokaguliwa na wanarika kwa hivyo linachapisha nakala za Kiswahili tu. Nakala zinazoweza kuchapishwa chini ya jarida hili ni nakala kutoka kwa aina zote za maarifa isipokuwa zimeandikwa kwa lugha ya Kiswahili. Waandishi wanaowasilisha kwa jarida hili wanaweza kuamua kutafsiri nakala zao kwa Kiingereza na kuchapisha tafsiri katika majarida mengine yoyote tulio nayo.
PUBLISHER:
East African Nature and Science Organization,
P. O. Box 3975 - 00100, Nairobi, Kenya.
Makala
-
Matumizi ya Mhusika Kipofu katika Filamu za Kiswahili
-
Dhima za Mbinu za Kisanaa katika Kujenga Dhamira katika Diwani ya Wasakatonge (2003) na Chini ya Mwembe (2017)
-
Nafasi ya Utoupole Katika Ukuzaji wa Maudhui Katika Tamthilia ya Pango
-
Ukiushi wa Kaida Tagusani katika Kusawiri Upotovu wa Maadili katika Jamii: Mifano kutoka Riwaya Teule za Ken Walibora
-
Usimulizi kama Kipengele cha Muundo Unavyojitokeza kwenye Diwani ya Akiba ya Wema Iliyohaririwa na Timothy Arege
-
Usawiri wa Ukabila Katika Riwaya Teule za Kufa Kuzikana na Narejea Nyumbani
-
Upole katika Manifesto ya Kenya Kwanza
-
Dhima ya Deksia katika Kujenga Mshikamano wa Matini Teule
-
Nahau na Ujenzi wa Mshikamano katika Matini Teule
-
Usawiri wa Wahusika wa Kike katika Tamthilia za Sudana na Dunia Hadaa