Numéro courant
##foot.issn.print##: 2707-3467 | ##foot.issn.online##: 2707-3475
##journal.doi.text##: https://doi.org/10.37284/2707-3475
Maendeleo ya Kiswahili kama lugha ni muhimu katika kukuza na kuhifadhi utamaduni wa kiasili, maarifa na dini katika mikoa inayozungumza Kiswahili barani Afrika. Jarida hili linalokaguliwa na wanarika kwa hivyo linachapisha nakala za Kiswahili tu. Nakala zinazoweza kuchapishwa chini ya jarida hili ni nakala kutoka kwa aina zote za maarifa isipokuwa zimeandikwa kwa lugha ya Kiswahili. Waandishi wanaowasilisha kwa jarida hili wanaweza kuamua kutafsiri nakala zao kwa Kiingereza na kuchapisha tafsiri katika majarida mengine yoyote tulio nayo.
PUBLISHER:
East African Nature and Science Organization,
P. O. Box 3975 - 00100, Nairobi, Kenya.
Makala
-
Mabadiliko katika Mtaala wa Elimu ya Msingi na Namna Yanavyoathiri Tathmini katika Elimu ya Juu
-
Vichocheo Vinavyowafanya Wahudumu wa Bodaboda na Abiria Kuzingatia au Kukiuka Upole Katika Mawasiliano
-
Utafiti wa Lahaja Kupitia Macho ya Jamii: Matumizi ya Mtazamo Tambuzi wa Elimu Lahaja Katika Kaunti ya Lamu
-
Unyanyasikaji wa Wanaume katika Diwani za Tumbo Lisiloshiba na Maskini Milionea na Hadithi Nyingine
-
Mbinu za Kifasihi katika Uundaji na Uhawilishaji wa Maarifa Kupitia Bembezi za Jamii ya Watumbatu
-
Ujenzi wa Sifa za Mhusika wa Riwaya ya Kiswahili: Tathmini ya Mchango wa Mandhari katika Kiu na Kidagaa Kimemwozea
-
Mikakati ya Kimtindo katika Muziki wa Benga wa Jamii ya Wakamba: Mkabala wa Umtindo
-
Uangavu wa Maana kama Nyenzo ya Ujalizaji katika Lugha ya Kiswahili
-
Usawiri wa Vyombo vya Dola katika Tamthilia ya Kilio cha Haki (1981) Kifo Kisimani (2001) na Upepo wa Mvua (2013)
-
Maudhui ya Ukungwi katika Nyimbo Teule za Taarab
-
Athari ya Uhawilishaji wa Viwakilishi vya Jinsia kwa Ujumbe wa Lugha Chanzi; Tafsiri Kutoka Kiswahili Kwenda Kiingereza
-
Tathmini Ya Sura Za Ufisadi Katika Riwaya Za Tom Olali Mafamba (2012) Na Watu Wa Gehenna (2012)
-
Mikakati ya Ushawishi katika Manifesto ya Kenya Kwanza katika Uchaguzi Mkuu wa 2022 Nchini Kenya
-
Wakaa katika Hotuba Teule za Wanasiasa wa Kenya
-
Mtindo na Matumizi ya Lugha Katika Muziki wa Taarab : Mifano Kutoka Taarab za Kiswahili
-
Athari za Ubadilishaji Msimbo Kanisani kwa Wasikilizaji: Mifano Kutoka katika Mahubiri ya Mchungaji Wilbroad Mastai
-
Mtazamo Linganishi wa Itikadi katika Utenzi wa Mwanakupona na Mashairi ya Muyaka
-
Mtagusano wa Kimofofonolojia katika Kiolezofaridi cha Lugha ya Kiswahili: Mapengo ya Kiolezofaridi
-
Mchango wa Ukafsiri katika Kukuza Isimu-Kokotozi: Mfano wa Nyimbo za Injili za Ambassadors of Christ na The Saints Ministers